Mmasai na mmakondo walikuwa wakibisha na ilikuwa kama ifuatavyo:
Mmakonde: Chichi atuchemi bwana hata baba wa taifa alikuwa anajua.
Mmasai: Yero, inasema nini hii mutu, masai ni kiboko kwa kasi ya ulinsi.
Mmakonde: Chibaya chinajitembeza na chizuri chinajiuza.
Mmasai: Yeroo! Kinalinda na rungu tu si kinahatarisha maisha yake? Mmakonde: Ahaa! Nchakujua kumbe wewe unataka kujue chilaha zangu ili uje kuiba. Chacha chikwambii kama nina nchale wa chumu na nkuki, wewe njoo kuiba ndio utajiona chilaha zangu...
Thursday, December 18, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment