KARIBU SANA

Thursday, December 18, 2008

Pata Mchoto..!

Mmasai na mmakondo walikuwa wakibisha na ilikuwa kama ifuatavyo:
Mmakonde: Chichi atuchemi bwana hata baba wa taifa alikuwa anajua.
Mmasai: Yero, inasema nini hii mutu, masai ni kiboko kwa kasi ya ulinsi.
Mmakonde: Chibaya chinajitembeza na chizuri chinajiuza.
Mmasai: Yeroo! Kinalinda na rungu tu si kinahatarisha maisha yake? Mmakonde: Ahaa! Nchakujua kumbe wewe unataka kujue chilaha zangu ili uje kuiba. Chacha chikwambii kama nina nchale wa chumu na nkuki, wewe njoo kuiba ndio utajiona chilaha zangu...

No comments:

Post a Comment