
Mmasai: Rafiki hiyo toto inafuata mama yake huku inachesa chesa, naipenda sana mama yake eeh?
Tulipofika safari yetu konda wa lile gari alituomba nauli mmasai akatoa mia mbili.
Mmasai: Hii itanunulia hiyo toto masiwa?
Mimi na konda tukabaki mbavu hatuna...
No comments:
Post a Comment