Katika onesho hilo Fatuma amesema kutakuwa na mitindo mbalimbali ya mavazi kama vile ya Kitanzania, Kirasta, Kimasai na mingineyo.
Pichani muandaaji wa shughuli hiyo, Fatuma Amour, akielezea mambo yatakayojiri siku hiyo.
Baadhi ya vimwana watakaoshiriki onesho hilo wakiwa kwenye picha ya pamoja.

No comments:
Post a Comment