Polisi huyu alinaswa na kamera yetu akiwapa kibano vijana hawa katika mtaa wa Msimbazi Kariakoo baada ya kuwabamba wakiwa wanapigana hadharani. Polisi huyo alikuwa akisisitiza kuwa lazima vijana hao wakalale Sero
NACTVET yaagiza vyuo kufuata utaratibu
5 hours ago

No comments:
Post a Comment