Wednesday, January 14, 2009
WAACHE WAKOSE MAFUTA SI TUENDELEE KUPETA MJINI
Kufuatia kuadimika kwa nishati ya mafuta Jijini Dar es Salaam kutokana na mgomo baridi wa wamiliki wa ituo vya mafuta unaoendelea, neema ya kusafirisha mizigo imewaangukia watu wenye mikokoteni na maguta ambao hivi sasa wamedai kuwa hawalali njaa kutokana na kukamatia dili kwa saana tu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment