KARIBU SANA

Monday, December 1, 2008

Ilikuwa balaa tupu!! Banda lakimbiwa nawenyewe!!!

banda lakimbiwa!! wenyeji watimkia mabanda mengine kukwepa aibu ndani ya banda hilo
banda hili liliachwa solemba na wenyewe ,ni baada ya kile tunachoita kukosa chochote cha maonesho mbele ya wadau kutokana matayarisho mabovu,kutoshirikiana kwao n.k.tuliepuke hili watanzania hii ni aibu.

No comments:

Post a Comment