
banda lakimbiwa!! wenyeji watimkia mabanda mengine kukwepa aibu ndani ya banda hilo

banda hili liliachwa solemba na wenyewe ,ni baada ya kile tunachoita kukosa chochote cha maonesho mbele ya wadau kutokana matayarisho mabovu,kutoshirikiana kwao n.k.tuliepuke hili watanzania hii ni aibu.
No comments:
Post a Comment