Mamo ya wahabeshi hawakuwa nyuma pia
hili ni banda ambalo lili kuwa kivutio kikubwa na mabinti(wasichana)katika mambo ya michoro katika mwili kwa mwakani hata sisi haya mambo nafikiri yana wezekana nafikiri watu wote mnanipata haya kazii hii na mwachia BABA JEI
kama anayoenakana hapo dada huyo akiteta na mdau kuhusu yaliyo kuwemo katika banda hilo
ze Obama walikuwepo pia
kuwepo kwao hapo bandani kulikuwa kivuti kwa watu tofauti katika banda hilo
wakitoa hunduma katika banda lao
hapani japan.....
wakiangalia kazi yao mkwa umakini kabisa ili kukidhi mahitaji ya watazamaji
kazi ya wahindi hiyo
HAPA TUKIZUBAA TU!! TUTAACHWA SOLEMBA (senegali na Ivory coast)hawakuwa nyumba katika kukata mauno
hatokimtu hapa!!!
kulikuwa na kila style katika mabanda tofauti katika kuvutia wwtu kaika mabanda yao,kamawanavyoonekana hapo wa gaboni wakiyarudi majoka
Sunday, November 30, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
sifa nyingi kwa wahabeshi!!!!!!!!!!!......nao ni wadau wawezeshaji hapa nini?hahhahaahh
ReplyDelete