KARIBU SANA

Sunday, November 30, 2008

Nchi nyingine hazikuwa nyuma pia

Mamo ya wahabeshi hawakuwa nyuma pia

hili ni banda ambalo lili kuwa kivutio kikubwa na mabinti(wasichana)katika mambo ya michoro katika mwili kwa mwakani hata sisi haya mambo nafikiri yana wezekana nafikiri watu wote mnanipata haya kazii hii na mwachia BABA JEI

kama anayoenakana hapo dada huyo akiteta na mdau kuhusu yaliyo kuwemo katika banda hilo
ze Obama walikuwepo pia
kuwepo kwao hapo bandani kulikuwa kivuti kwa watu tofauti katika banda hilo

wakitoa hunduma katika banda lao
hapani japan.....
wakiangalia kazi yao mkwa umakini kabisa ili kukidhi mahitaji ya watazamaji
kazi ya wahindi hiyo
HAPA TUKIZUBAA TU!! TUTAACHWA SOLEMBA (senegali na Ivory coast)hawakuwa nyumba katika kukata mauno
hatokimtu hapa!!!
kulikuwa na kila style katika mabanda tofauti katika kuvutia wwtu kaika mabanda yao,kamawanavyoonekana hapo wa gaboni wakiyarudi majoka

1 comment:

  1. sifa nyingi kwa wahabeshi!!!!!!!!!!!......nao ni wadau wawezeshaji hapa nini?hahhahaahh

    ReplyDelete