
Mamo ya wahabeshi hawakuwa nyuma pia

hili ni banda ambalo lili kuwa kivutio kikubwa na mabinti(wasichana)katika mambo ya michoro katika mwili kwa mwakani hata sisi haya mambo nafikiri yana wezekana nafikiri watu wote mnanipata haya kazii hii na mwachia BABA JEI

kama anayoenakana hapo dada huyo akiteta na mdau kuhusu yaliyo kuwemo katika banda hilo

ze Obama walikuwepo pia

kuwepo kwao hapo bandani kulikuwa kivuti kwa watu tofauti katika banda hilo


wakitoa hunduma katika banda lao

hapani japan.....

wakiangalia kazi yao mkwa umakini kabisa ili kukidhi mahitaji ya watazamaji

kazi ya wahindi hiyo

HAPA TUKIZUBAA TU!! TUTAACHWA SOLEMBA (senegali na Ivory coast)hawakuwa nyumba katika kukata mauno

hatokimtu hapa!!!

kulikuwa na kila style katika mabanda tofauti katika kuvutia wwtu kaika mabanda yao,kamawanavyoonekana hapo wa gaboni wakiyarudi majoka
sifa nyingi kwa wahabeshi!!!!!!!!!!!......nao ni wadau wawezeshaji hapa nini?hahhahaahh
ReplyDelete