albert mangwair akipagawisha jukwaani katika kuwapa mashabiki wake ile roho napenda
wazee wa habari ndio hiyo na hapo ndio ulikuwa wa utambulisho wa habari ndio hiyo
Mr Blue akiimba wimbo wake mya wa tabasamu,wimbo ambao umetokea kupendwa sana na mashabiki wa muziki hapo bongo land
Prof J akikamua kama kawaida yake mtu mzima hatishiwi nyau...
Tuesday, December 9, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment