KARIBU SANA

Sunday, December 14, 2008

TENGA, NYAMLANI, NASIBU WAPETA


Uchaguzi Mkuu wa TFF umekwisha na Leodgar Tenga amefanikiwa kutetea kiti chake na Athmani Nyamlani anakuwa Makamu wake wa kwanza, wa pili anakuwa Nasib Ramadhan.......Tenga amemshinda mshindani wake wa karibu Jamal Malinzi kwa kura 68 - 39.

No comments:

Post a Comment