KARIBU SANA

Monday, April 6, 2009

WALIOUAWA KWA MAUAJI YA KIKABILA NCHINI RWANDA, WAKUMBUKWA

Balozi wa Rwanda hapa chini, Zeno Mutimura, (kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) jijini Dar, juu ya siku ya maombolezo hayo hapo kesho. Balozi huyo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye inshu hiyo. Kiingilio miguu yako.

CHID BENZ, NAKAAYA KUKAMUA KWENYE MAOMBOLEZO HAYO

Wasanii wa kizazi kipya Chid Benzino na Nakaaya Sumari, wamethibisha kufanya makamuzi katika maombolezo hayo yanayotarajiwa kufanyika kesho

No comments:

Post a Comment