KARIBU SANA

Thursday, March 19, 2009

DUH! NASIKIA RAHAA !!

Mwana dada huyu ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, alibambwa na kamera yetu, hivi karibuni, ‘akimbashia’ mwenzake katika Ukumbi wa Millennium Pub uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam, wakati wa shoo ya Jahazi Modern Taarabu.

No comments:

Post a Comment