watu walikuwa wana shauku ya kujua kila kitu hadi wengine wakilazimisha hata kununua ila kwa bahati mbaya vitu hivyo vilikuwa vichache kwa ajiri ya maonesho tu.so next time najua tutabadilika kwa hilo ili kufanya biashara kama kawa mwenyekiti ananipata hapo..
mdau Dr Ali akitoa maelezo ya baadhi ya picha zilizo kuwa zimebandikwa katika banda hilo,ambazo pia zilikuwa kivutio kikubwa katika festival hiyo.
hapa ni mdau na mwenyekiti wakiteta jambo katika shughuli hiyo,kama unavyo ona watu wkiwa wemezonga sana banda hilo
kama wanayoonekana katika picha ,wadau mbalimbali wakipata mahanjumati ya kibongokwa kweli wuhan nzima wanazimia mahanjumati hayo.kila party ya kibongo wazamiaji kibao kikubwa kama tulivyo zoea cio mabinti! ila ndo hayo mahanju!
na fulani.
Sunday, November 30, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hahha naona vijana full kujiachia,imetulia
ReplyDelete