Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wanaosoma katika vyuo vikuu nchini (TAHLISO) Christopher Ngubiagai (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO Jijini Dar es Salaam, hii leo kuhusu hali ya sasa ya muonekano wa elimu ya juu nchini, pamoja na migomo inayoendelea.Kulia ni Katibu wa TAHLISO Bw. Nichoprous Mtindya.
Friday, November 28, 2008
MGOMO VYUO VIKUU BADO NGOMA NZITO
Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wanaosoma katika vyuo vikuu nchini (TAHLISO) Christopher Ngubiagai (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO Jijini Dar es Salaam, hii leo kuhusu hali ya sasa ya muonekano wa elimu ya juu nchini, pamoja na migomo inayoendelea.Kulia ni Katibu wa TAHLISO Bw. Nichoprous Mtindya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment