
Mrembo aliyejulikana kwa jina moja la Hadija, aliyewahi kutolewa na gazeti la Risasi ambalo ni moja ya magazeti yanayotolewa na Kampuni ya Global Publishers akifanya ‘uchafu’ na jamaa yake ndani ya ukumbi wa Travertine, Magomeni, Jijini Dar, amefungishwa ndoa ya chapchap (mkeka)
No comments:
Post a Comment