KARIBU SANA

Thursday, December 4, 2008

WANACHUO WANASWA WAKIJUZA

Baada ya wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini kugoma hivi karibuni na kusababisha kurejeshwa majumbani kwao, wasichana wawili waliodaiwa kuwa ni wanachuo wa chuo kikuu kimoja maarufu nchini (Jina tunalihifadhi) wamenaswa wakijiuza katika maeneo ya Oysterbay jijini Dar es Salaam...

No comments:

Post a Comment