
Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa William Ngereja, leo alielezea azma ya Serikali kununua mtambo wa kuzalisha umeme Megawati 112 .5 kutoka kampuni ya Dowans ili kuongeza nguvu ya nishati hiyo kufuatia ongezeko la watumiaji wa Nishati hiyo. kulia ni Naibu wake Mheshimiwa Adam Malima.
No comments:
Post a Comment