Mheshimiwa temba siku alipo achana na ukapera na kufunga pingu za maisha 'ndoa' .Katika kuonesha kwamba Wanaume Halisi na Wanaume TMK wako pamoja, baadhi ya wasanii wa Kundi la Wanaume Halisi walitinga katika harusi ya Amani James Temba ‘Mheshimiwa Temba’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Princess, uliyopo Sinza, Dar es Salaam,...
Wednesday, December 17, 2008
Mhehimiwa TEMBA sasa hayupo hayupo
Mheshimiwa temba siku alipo achana na ukapera na kufunga pingu za maisha 'ndoa' .Katika kuonesha kwamba Wanaume Halisi na Wanaume TMK wako pamoja, baadhi ya wasanii wa Kundi la Wanaume Halisi walitinga katika harusi ya Amani James Temba ‘Mheshimiwa Temba’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Princess, uliyopo Sinza, Dar es Salaam,...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment