Mtangazaji maarufu wa kituo cha Redio na Luninga, cha East Africa cha jijini Dar usiku wa kuamkia jana alinaswa na kamera ndani ya ukumbi wa Mango Garden jijini amejiachia na Sauda Mwilima wa Star Tv (Kulia) huku akiwa na kipete kama cha ndoa vile?!
Sunday, December 7, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment