Wakristo wote hapa ulimwenguni kesho watasherekea krismasi,fulani pamaja na wadau wote hapa China tuna watakia krismas njema(hii ni sherehe ya kuzaliwa kwa yesu kristo)wadau wote nawaomba tumkumbuke mungu kwa kufanya sala kila siku.
nawatakia krismasi njema
kaka unalala mkuu,leo ni tarehe 2 january bado unatuwekea picha ya christmass sasa tukuelewaje? au kazi imekushinda?
ReplyDelete